ASKOFU GWAJIMA AACHIWA KWA DHAMANA LEO KATIKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM

 Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima akiwa ameshikana mkono na mshtakiwa mwenzake askofu msaidizi, Yekamia B...



 Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima akiwa ameshikana mkono na mshtakiwa mwenzake askofu msaidizi, Yekamia Behagaza wakati wakitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo, walipofikishwa mahakamani hapo kwa kosa la kutoa lugha za matusi na kukutwa na silaha kinyume cha sheria.(Picha na Francis Dande wa Habari Mseto Blog) Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima akiwa ameshikana mkono na mshtakiwa mwenzake askofu msaidizi, Yekamia Behagaza wakati wakitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo, walipofikishwa mahakamani hapo kwa kosa la kutoa lugha za matusi na kukutwa na silaha kinyume cha sheria.
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima (katikati) akiwa na mshtakiwa mwenzake askofu msaidizi, Yekamia Behagaza wakati wakitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo, walipofikishwa mahakamani hapo kwa kosa la kutoa lugha za matusi na kukutwa na silaha kinyume cha sheria.                     Askofu Gwajima (kushoto) akitoka mahakamani.
 Gari la Polisi likiwa katika doria nyumbani kwa Gwajima leo. Polisi wakitoka katika mahakama ya Kisutu ambako askofu Gwajima alifikishwa mahakamani hapo.Polisi wakiwa katika gari maalum la maji ya kuwasha wakati wakitoka mahakamani.

COMMENTS

Name

AJIRA AND SCHOLARSHIPS,3,CELLEBS,5,love tips,1,MAGAZETI,5,michezo,8,MIX-NEWS,11,New audio,36,politics,1,sports,4,stori za mapenzi,1,technology,1,video,28,
ltr
item
MSABAHA BLOG: ASKOFU GWAJIMA AACHIWA KWA DHAMANA LEO KATIKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM
ASKOFU GWAJIMA AACHIWA KWA DHAMANA LEO KATIKA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh76554HpjCYpq8vaS1kUB8anAwAm-QRcfaEQ94mm4uaPx2h2cxt939GprM3T23Wwtoio-HkjY4q_IjJMW-lpXtmxjuBLjz9GBwra0cUttEJm2tY3ALFd5fGK_dnTiiz4KQzgdINvCJyfsU/s1600/Gwajima+akitoka+mahakamani.JPG
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh76554HpjCYpq8vaS1kUB8anAwAm-QRcfaEQ94mm4uaPx2h2cxt939GprM3T23Wwtoio-HkjY4q_IjJMW-lpXtmxjuBLjz9GBwra0cUttEJm2tY3ALFd5fGK_dnTiiz4KQzgdINvCJyfsU/s72-c/Gwajima+akitoka+mahakamani.JPG
MSABAHA BLOG
http://msabaha.blogspot.com/2015/04/askofu-gwajima-aachiwa-kwa-dhamana-leo.html
http://msabaha.blogspot.com/
http://msabaha.blogspot.com/
http://msabaha.blogspot.com/2015/04/askofu-gwajima-aachiwa-kwa-dhamana-leo.html
true
6741126810271918050
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy