KUFUATIA KIFO CHA MPENZI WAKE LULU, LULU AAMUA KUFUTA AKAUNTI YAKE YA INSTAGRAM

...


 Muigizaji wa filamu, Elizabeth ‘Lulu’ Michael mwenye wafuasi wengi kwenye Instagram, ameamua kujiondoa baada ya kushambuliwa kwa matusi na baadhi ya watu kufuatia kifo cha mtu aliyewahi kuwa mpenzi wake.
Kufuatia kifo cha kutatanisha cha Lusekelo Samson Mwandenga ‘Secky’, watu wengi walianza kumtukana Lulu wakimhusisha pia na kifo hicho huku pia wakipost picha zinazomuonesha alipokuwa na marehemu.Hata hivyo mujibu wa Global Publishers, familia ya Secky imeweka wazi chanzo halisi cha kifo chake.Familia hiyo imeeleza kuwa marehemu aliumizwa na kiti cha kioo akiwa kambeba mtoto wake nyumbani kwake kisha akapelekwa hospitali na baadaye kufariki dunia akiwa huko.Katika hatua nyingine msanii mkongwe wa filamu, William Mtitu amefunguka na kuwataka watu kuacha kumshambulia Lulu kwa kitu ambacho hahusiki nacho.
“Lulu ni msanii mdogo sana kiumri na amepitia mitihani mikubwa sana katika maisha ambayo mimi na wewe kabda tusingeiweza kuikabili plz nawaomba tumuache kwa sasa inatosha jamani kumbukeni huyu ni binadamu na moyo kama nilivyokuwa mimi na wewe hivi utajisikiaje km utasikia lulu amejizulu kwa namna yeyote ile kutokana na maneno yako ya kumshambulia mitandaoni,” ameandika kwenye Instagram.“Kumbukeni sisi ni banadamu atuijui leo yetu itaishaje wala kesho yetu itakuwaje? Plz inatosha sasa watanzania wenzangu. MTAARIFU NA MWINGINE.”Miaka miwili iliyopita Lulu aliwahi kukaa jela kutokana na kushtakiwa kwa kumuua bila kukusudia Steven Kanumba aliyekuwa mpenzi wake.
CHANZO: BONGO 5

COMMENTS

Name

AJIRA AND SCHOLARSHIPS,3,CELLEBS,5,love tips,1,MAGAZETI,5,michezo,8,MIX-NEWS,11,New audio,36,politics,1,sports,4,stori za mapenzi,1,technology,1,video,28,
ltr
item
MSABAHA BLOG: KUFUATIA KIFO CHA MPENZI WAKE LULU, LULU AAMUA KUFUTA AKAUNTI YAKE YA INSTAGRAM
KUFUATIA KIFO CHA MPENZI WAKE LULU, LULU AAMUA KUFUTA AKAUNTI YAKE YA INSTAGRAM
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjVYxz6zqLzZob5FvSGPTBUiSs6DmqoUKPr8tLMiBl3pJPz7BONaoSZhyphenhyphenm-32Xq3wsStef3yRWE4jqG8Bdo3eAjN78ZHk4y2tx8Ys3b4KRstpVtlGpfFUtcJQ2a8MWB-j9mPFFpSFtQjV8/s1600/lulu-pic.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjVYxz6zqLzZob5FvSGPTBUiSs6DmqoUKPr8tLMiBl3pJPz7BONaoSZhyphenhyphenm-32Xq3wsStef3yRWE4jqG8Bdo3eAjN78ZHk4y2tx8Ys3b4KRstpVtlGpfFUtcJQ2a8MWB-j9mPFFpSFtQjV8/s72-c/lulu-pic.jpg
MSABAHA BLOG
http://msabaha.blogspot.com/2015/04/kufuatia-kifo-cha-mpenzi-wake-lulu-lulu.html
http://msabaha.blogspot.com/
http://msabaha.blogspot.com/
http://msabaha.blogspot.com/2015/04/kufuatia-kifo-cha-mpenzi-wake-lulu-lulu.html
true
6741126810271918050
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy