YOU HEARD : PREZOO NA DIVA LOVENESS LOVE WAPO KWENYE MAPENZ...
YOU HEARD : PREZOO NA DIVA LOVENESS LOVE WAPO KWENYE MAPENZI MOTO MOTO
Posted by Teen Newz on May 10, 2013 at 3:43pm
0 Comments
0 Likes
Taarifa za siri ambazo zimefika mezani kwa muhariri zina nong'oneza
kwamba Rapper tajiri nchini Kenya kwa sasa hivi yuko katika mahaba
mazito na Mtangazaji wa kituo cha radio kikubwa nchini Tanzania,
namzungumzia Diva Loveness Love wa Ala za Roho, inasemekana mahusiano
yao yalianza wiki za karibuni baada ya Prezoo kudondoka bongo na
alialikwa kwenye kipindi cha Ala za roho ndipo picha zima lilipo anzia,
kama utani wakaanza kutania taniana, sasa usiku wa tukio hawakufanikiwa
kwenda out lakini namba zilibadilishwa pale, kilichofata baada ya hapo
sasa Prezzo akataka kwenda mpaka kwa kina binti lakini akazuiliwa
wataalamu wa mambo wanasema penye nia pana njia, basi huenda time
navyozungumza japo Prezzo hayuko bongo narudia tena…
COMMENTS