FIESTA 2014 NDANI YA GEITA AKA GOLD CITY NI SHEEIIIDAAA Wakazi wa mji wa geita wanaisubiri kwa hamu ile shoo kubwa kibongbongo show ya ser...
FIESTA 2014 NDANI YA GEITA AKA GOLD CITY NI SHEEIIIDAAA
Wakazi wa mji wa geita wanaisubiri kwa hamu ile shoo kubwa kibongbongo show ya serengeti fiesta itakayo fanyika katika pub ya desire iliyoko hapo geita mjini wasanii kibao watakuepo na wakazi wote wa shilabela,misheni,mbugani,mwatolole,nyankumbu,miti mirefu, kagera, bomba mbili kivukoni nyamalembo,na msaeto
DESIRE PARK SEHEMU AMBAPO SHOW ITASABABISHWA
wasanii watakao kuwepo ni pamoja na fid q, shilole, stamina, ney wa mitego, young killer, nuhu mziwanda, ommy dimpoz, linnah, recho get lady mkazi wa geit town a,k.a gold city
NI SHEEEEEEEEEEEIIIIIIIIIIIIIDAAA
Wakazi wa mji wa geita wanaisubiri kwa hamu ile shoo kubwa kibongbongo show ya serengeti fiesta itakayo fanyika katika pub ya desire iliyoko hapo geita mjini wasanii kibao watakuepo na wakazi wote wa shilabela,misheni,mbugani,mwatolole,nyankumbu,miti mirefu, kagera, bomba mbili kivukoni nyamalembo,na msaeto
DESIRE PARK SEHEMU AMBAPO SHOW ITASABABISHWA
wasanii watakao kuwepo ni pamoja na fid q, shilole, stamina, ney wa mitego, young killer, nuhu mziwanda, ommy dimpoz, linnah, recho get lady mkazi wa geit town a,k.a gold city
NI SHEEEEEEEEEEEIIIIIIIIIIIIIDAAA
COMMENTS