MAZITO YAMEJILI KWENYE KESI YA TUNDU LISSU MAHAKAMANI HIVI LEO
HomeMIX-NEWS

MAZITO YAMEJILI KWENYE KESI YA TUNDU LISSU MAHAKAMANI HIVI LEO

Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na kamanda wa polisi wa Mkoa wa Ilala, Salum Hamdani wamechuana mahakamani katika kesi ya ...


Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na kamanda wa polisi wa Mkoa wa Ilala, Salum Hamdani wamechuana mahakamani katika kesi ya uchochezi inayomkabili mbunge huyo na wahariri wa gazeti la Mawio.
Hata hivyo, Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba leo atatoa uamuzi wa kama Hamdani aeleze anachokifahamu juu ya Katiba ya Zanzibar na kama Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha anaweza kufuta matokeo ya uchaguzi.
Hiyo ilikuwa ni baada ya Lissu kumtaka Hamdani,ambaye ni shahidi wa upande wa mashtaka, aeleze anachokifahamu kuhusu Katiba ya Zanzibar na kama Jecha anaweza kufuta matokeo ya uchaguzi.
Hakimu Simba alifikia uamuzi huo baada ya wakili wa Serikali, Paul Kadushi kupinga shahidi huyo kujibu swali hilo kwa sababu si mtaalamu wa sheria wala katiba hivyo hawezi kutoa tafsiri ya Katiba ya Zanzibar na kwamba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu haina mamlaka ya kusikiliza masuala ya kikatiba.
Lissu alimhoji Hamdani maelezo yake yaliyo polisi aliyaandika kama nani? Mahojiano yao yalikuwa kama ifuatavyo:
Hamdani: Niliandika maelezo yangu kama mlalamikaji na kwamba mikusanyiko hiyo haikuwa haramu, ilikuwa halali kisheria.
Lissu: Mweleze mheshimiwa kama mihemko kisheria inakatazwa ama la?
Hamdani: Haikatazwi
Name

AJIRA AND SCHOLARSHIPS,3,CELLEBS,5,love tips,1,MAGAZETI,5,michezo,8,MIX-NEWS,11,New audio,36,politics,1,sports,4,stori za mapenzi,1,technology,1,video,28,
ltr
item
MSABAHA BLOG: MAZITO YAMEJILI KWENYE KESI YA TUNDU LISSU MAHAKAMANI HIVI LEO
MAZITO YAMEJILI KWENYE KESI YA TUNDU LISSU MAHAKAMANI HIVI LEO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhf8CfY5sRFptjtbMEJP7Cxz4KE81Oc0a3OVYVya0GfgoR_R0iOf-yCoCXI47y-kfsImz9qFKAmAftDR6KCH5twhivHHOf-WxKEOulLXg3XjMUml4L-DzEz4vLQx81RBrDSFP_5pue8semz/s640/lissu_1.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhf8CfY5sRFptjtbMEJP7Cxz4KE81Oc0a3OVYVya0GfgoR_R0iOf-yCoCXI47y-kfsImz9qFKAmAftDR6KCH5twhivHHOf-WxKEOulLXg3XjMUml4L-DzEz4vLQx81RBrDSFP_5pue8semz/s72-c/lissu_1.jpg
MSABAHA BLOG
https://msabaha.blogspot.com/2017/02/mazito-yamejili-kwenye-kesi-ya-tundu.html
https://msabaha.blogspot.com/
http://msabaha.blogspot.com/
http://msabaha.blogspot.com/2017/02/mazito-yamejili-kwenye-kesi-ya-tundu.html
true
6741126810271918050
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy